Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+ Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu. Luka 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+ Yohana 1:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Filipo akamkuta Nathanaeli+ na kumwambia: “Tumempata yule ambaye Musa, katika Sheria, na Manabii waliandika kumhusu: Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.” Yohana 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+ Matendo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+ Matendo 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia hivi wana wa Israeli: ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.’+
10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+
17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.
16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+
45 Filipo akamkuta Nathanaeli+ na kumwambia: “Tumempata yule ambaye Musa, katika Sheria, na Manabii waliandika kumhusu: Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.”
14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+
22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+
37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia hivi wana wa Israeli: ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.’+