Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+

  • Hesabu 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitamwona, lakini si sasa;

      Nitamtazama, lakini si hivi karibuni.

      Nyota+ itatoka kwa Yakobo,

      Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+

      Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+

      Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.

  • Luka 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+

  • Yohana 1:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Filipo akamkuta Nathanaeli+ na kumwambia: “Tumempata yule ambaye Musa, katika Sheria, na Manabii waliandika kumhusu: Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.”

  • Yohana 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+

  • Matendo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+

  • Matendo 7:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia hivi wana wa Israeli: ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki