Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wakoNa miisho ya dunia kuwa miliki yako.+ Isaya 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu. Mathayo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Na wewe, ewe Bethlehemu ya nchi ya Yuda, wewe si mji mdogo zaidi miongoni mwa magavana wa Yuda, kwa maana kutoka kwako atakuja kiongozi, atakayewachunga watu wangu Israeli.’”+
10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.
6 ‘Na wewe, ewe Bethlehemu ya nchi ya Yuda, wewe si mji mdogo zaidi miongoni mwa magavana wa Yuda, kwa maana kutoka kwako atakuja kiongozi, atakayewachunga watu wangu Israeli.’”+