Matendo 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Waliposikia mambo hayo, wakaacha kupinga,* nao wakamtukuza Mungu wakisema: “Kwa hiyo basi, Mungu pia ameruhusu watu wa mataifa watubu ili wapate uzima.”+ Matendo 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi jueni kwamba wokovu huu kutoka kwa Mungu umepelekwa kwa mataifa;+ nao kwa hakika watausikiliza.”+
18 Waliposikia mambo hayo, wakaacha kupinga,* nao wakamtukuza Mungu wakisema: “Kwa hiyo basi, Mungu pia ameruhusu watu wa mataifa watubu ili wapate uzima.”+
28 Basi jueni kwamba wokovu huu kutoka kwa Mungu umepelekwa kwa mataifa;+ nao kwa hakika watausikiliza.”+