Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+

      Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+

      Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.

  • Matendo 17:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ni kweli, Mungu ameachilia nyakati hizo za kutojua;+ lakini sasa anawatangazia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.

  • Waroma 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki.+ Kuna Bwana yuleyule juu ya wote, aliye tajiri* kwa wote wanaomwitia.

  • Waroma 15:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana ninawaambia kwamba Kristo alikuwa mhudumu wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi ambazo Yeye aliwapa mababu zao,+ 9 na kwamba mataifa yamtukuze Mungu kwa sababu ya rehema yake.+ Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitakwimbia nyimbo za sifa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki