Waroma 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tena Isaya anasema: “Kutakuwa na mzizi wa Yese,+ yule anayesimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+ Ufunuo 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+
12 Na tena Isaya anasema: “Kutakuwa na mzizi wa Yese,+ yule anayesimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+
16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+