Zaburi 110:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema: “Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+ Waebrania 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*
2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema: “Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+
8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*