Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitamwona, lakini si sasa;

      Nitamtazama, lakini si hivi karibuni.

      Nyota+ itatoka kwa Yakobo,

      Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+

      Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+

      Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.

  • 2 Samweli 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha wanaume wa Yuda wakaja, na huko wakamtia mafuta Daudi awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+

      Wakamwambia Daudi: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.”

  • 2 Samweli 7:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+

      17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki