Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu. 2 Samweli 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha wanaume wa Yuda wakaja, na huko wakamtia mafuta Daudi awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+ Wakamwambia Daudi: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.” 2 Samweli 7:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+ 17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+
17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.
4 Kisha wanaume wa Yuda wakaja, na huko wakamtia mafuta Daudi awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+ Wakamwambia Daudi: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.”
16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+ 17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+