Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+

  • 1 Samweli 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli: “Nimetenda dhambi, kwa kuwa nimeasi agizo la Yehova na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu na kusikiliza maneno yao.

  • 1 Samweli 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye atampa mwenzako aliye bora kuliko wewe.+

  • 1 Samweli 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+

  • 2 Samweli 5:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipowekwa kuwa mfalme, naye alitawala kwa miaka 40.+ 5 Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka 7 na miezi 6, na huko Yerusalemu+ alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka 33.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wazee wote wa Israeli wakaja kwa mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao huko Hebroni mbele za Yehova. Kisha wakamtia mafuta Daudi awe mfalme wa Israeli,+ kulingana na neno la Yehova kupitia Samweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki