2 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akawashinda Wamoabu+ na kuwaamuru walale chini ardhini, naye akawapima kwa kamba. Alipima safu mbili za watu ambao wangeuawa, na safu moja nzima ya watu ambao hawangeuawa.+ Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+ 1 Mambo ya Nyakati 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha akawashinda Wamoabu,+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+ Zaburi 108:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Moabu ni beseni langu la kuogea.+ Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+ Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+
2 Akawashinda Wamoabu+ na kuwaamuru walale chini ardhini, naye akawapima kwa kamba. Alipima safu mbili za watu ambao wangeuawa, na safu moja nzima ya watu ambao hawangeuawa.+ Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+
9 Moabu ni beseni langu la kuogea.+ Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+ Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+