Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu. Zaburi 60:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+ Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+ Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+
17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.
8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+ Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+ Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+