Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu. 2 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akawashinda Wamoabu+ na kuwaamuru walale chini ardhini, naye akawapima kwa kamba. Alipima safu mbili za watu ambao wangeuawa, na safu moja nzima ya watu ambao hawangeuawa.+ Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+
17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.
2 Akawashinda Wamoabu+ na kuwaamuru walale chini ardhini, naye akawapima kwa kamba. Alipima safu mbili za watu ambao wangeuawa, na safu moja nzima ya watu ambao hawangeuawa.+ Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+