Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yakobo akawa baba ya Yosefu mume wa Maria, aliyemzaa Yesu,+ aitwaye Kristo.+

  • Mathayo 13:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+

  • Luka 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yosefu+ pia akatoka jiji la Nazareti huko Galilaya akapanda kwenda Yudea katika jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa wa nyumba na familia ya Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki