Mathayo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yakobo akawa baba ya Yosefu mume wa Maria, aliyemzaa Yesu,+ aitwaye Kristo.+ Mathayo 13:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+ Luka 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yosefu+ pia akatoka jiji la Nazareti huko Galilaya akapanda kwenda Yudea katika jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa wa nyumba na familia ya Daudi.
55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+
4 Yosefu+ pia akatoka jiji la Nazareti huko Galilaya akapanda kwenda Yudea katika jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa wa nyumba na familia ya Daudi.