Mathayo 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+ Yohana 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi. Matendo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+ 1 Wakorintho 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sisi tuna haki ya kuambatana na mke ambaye ni mwamini,*+ kama wale mitume wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,*+ sivyo? Wagalatia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini sikuwaona wale mitume wengine, isipokuwa Yakobo+ ndugu ya Bwana.
46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+
12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.
14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+
5 Sisi tuna haki ya kuambatana na mke ambaye ni mwamini,*+ kama wale mitume wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,*+ sivyo?