22 Wote wakaanza kutoa ushahidi unaofaa kumhusu na kushangazwa na maneno yenye neema yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake,+ nao wakawa wakiambiana: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+
42 Nao wakaanza kusema: “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua?+ Sasa anawezaje kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”