Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 3:23-38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,

      wa Yosefu,+

      mwana wa Heli,

      24 mwana wa Mathati,

      mwana wa Lawi,

      mwana wa Melki,

      mwana wa Yanai,

      mwana wa Yosefu,

      25 mwana wa Matathia,

      mwana wa Amosi,

      mwana wa Nahumu,

      mwana wa Esli,

      mwana wa Nagai,

      26 mwana wa Maathi,

      mwana wa Matathia,

      mwana wa Semei,

      mwana wa Yoseki,

      mwana wa Yoda,

      27 mwana wa Yoanani,

      mwana wa Resa,

      mwana wa Zerubabeli,+

      mwana wa Shealtieli,+

      mwana wa Neri,

      28 mwana wa Melki,

      mwana wa Adi,

      mwana wa Kosamu,

      mwana wa Elmadamu,

      mwana wa Eri,

      29 mwana wa Yesu,

      mwana wa Eliezeri,

      mwana wa Yorimu,

      mwana wa Mathati,

      mwana wa Lawi,

      30 mwana wa Simioni,

      mwana wa Yuda,

      mwana wa Yosefu,

      mwana wa Yonamu,

      mwana wa Eliakimu,

      31 mwana wa Melea,

      mwana wa Mena,

      mwana wa Matatha,

      mwana wa Nathani,+

      mwana wa Daudi,+

      32 mwana wa Yese,+

      mwana wa Obedi,+

      mwana wa Boazi,+

      mwana wa Salmoni,+

      mwana wa Nashoni,+

      33 mwana wa Aminadabu,

      mwana wa Arni,

      mwana wa Hezroni,

      mwana wa Perezi,+

      mwana wa Yuda,+

      34 mwana wa Yakobo,+

      mwana wa Isaka,+

      mwana wa Abrahamu,+

      mwana wa Tera,+

      mwana wa Nahori,+

      35 mwana wa Serugi,+

      mwana wa Reu,+

      mwana wa Pelegi,+

      mwana wa Eberi,+

      mwana wa Shela,+

      36 mwana wa Kainani,

      mwana wa Arpakshadi,+

      mwana wa Shemu,+

      mwana wa Noa,+

      mwana wa Lameki,+

      37 mwana wa Methusela,+

      mwana wa Enoko,

      mwana wa Yaredi,+

      mwana wa Mahalaleeli,+

      mwana wa Kainani,+

      38 mwana wa Enoshi,+

      mwana wa Sethi,+

      mwana wa Adamu,+

      mwana wa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki