Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:1-17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Kitabu cha historia ya* Yesu Kristo,* mwana wa Daudi,+ mwana wa Abrahamu:+

       2 Abrahamu akawa baba ya Isaka;+

      Isaka akawa baba ya Yakobo;+

      Yakobo akawa baba ya Yuda+ na ndugu zake;

       3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari;

      Perezi akawa baba ya Hezroni;+

      Hezroni akawa baba ya Ramu;+

       4 Ramu akawa baba ya Aminadabu;

      Aminadabu akawa baba ya Nashoni;+

      Nashoni akawa baba ya Salmoni;

       5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+

      Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+

      Obedi akawa baba ya Yese;+

       6 Yese akawa baba ya Mfalme Daudi.+

      Daudi akawa baba ya Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

       7 Sulemani akawa baba ya Rehoboamu;+

      Rehoboamu akawa baba ya Abiya;

      Abiya akawa baba ya Asa;+

       8 Asa akawa baba ya Yehoshafati;+

      Yehoshafati akawa baba ya Yehoramu;+

      Yehoramu akawa baba ya Uzia;

       9 Uzia akawa baba ya Yothamu;+

      Yothamu akawa baba ya Ahazi;+

      Ahazi akawa baba ya Hezekia;+

      10 Hezekia akawa baba ya Manase;+

      Manase akawa baba ya Amoni;+

      Amoni akawa baba ya Yosia;+

      11 Yosia+ akawa baba ya Yekonia+ na ndugu zake, wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni.+

      12 Baada ya kupelekwa uhamishoni Babiloni, Yekonia akawa baba ya Shealtieli;

      Shealtieli akawa baba ya Zerubabeli;+

      13 Zerubabeli akawa baba ya Abiudi;

      Abiudi akawa baba ya Eliakimu;

      Eliakimu akawa baba ya Azori;

      14 Azori akawa baba ya Sadoki;

      Sadoki akawa baba ya Akimu;

      Akimu akawa baba ya Eliudi;

      15 Eliudi akawa baba ya Eleazari;

      Eleazari akawa baba ya Mathani;

      Mathani akawa baba ya Yakobo;

      16 Yakobo akawa baba ya Yosefu mume wa Maria, aliyemzaa Yesu,+ aitwaye Kristo.+

      17 Kuanzia Abrahamu mpaka Daudi kulikuwa na vizazi 14; kuanzia Daudi mpaka wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni, vizazi 14; kuanzia wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni mpaka Kristo, vizazi 14.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki