-
Mathayo 1:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi, vizazi vyote kutoka Abrahamu mpaka Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, na kutoka Daudi mpaka uhamisho wa kwenda Babiloni vizazi kumi na vinne, na kutoka uhamisho wa kwenda Babiloni mpaka Kristo vizazi kumi na vinne.
-
-
Mathayo 1:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Basi, vizazi vyote kutoka Abrahamu mpaka Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, na kutoka Daudi mpaka uhamisho hadi Babiloni vizazi kumi na vinne, na kutoka uhamisho hadi Babiloni mpaka Kristo vizazi kumi na vinne.
-