Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3:10-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+ 11 mwana wa Yehoshafati alikuwa Yehoramu,+ mwana wa Yehoramu alikuwa Ahazia,+ mwana wa Ahazia alikuwa Yehoashi,+ 12 mwana wa Yehoashi alikuwa Amazia,+ mwana wa Amazia alikuwa Azaria,+ mwana wa Azaria alikuwa Yothamu,+ 13 mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi,+ mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia,+ mwana wa Hezekia alikuwa Manase,+ 14 mwana wa Manase alikuwa Amoni,+ mwana wa Amoni alikuwa Yosia.+ 15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu, Sedekia,+ wa nne, Shalumu. 16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwanawe na Sedekia mwana wa Yekonia. 17 Wana wa Yekonia aliyekuwa mfungwa walikuwa Shealtieli, 18 Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia. 19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli+ na Shimei; na wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania (na dada yao alikuwa Shelomithi);

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha Abiya akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake nchi ilikuwa na amani* kwa miaka kumi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki