Ezra 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakaanza kujenga upya nyumba ya Mungu,+ iliyokuwa Yerusalemu; na manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao na waliwatia moyo.+ Mathayo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya kupelekwa uhamishoni Babiloni, Yekonia akawa baba ya Shealtieli; Shealtieli akawa baba ya Zerubabeli;+ Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 mwana wa Yoanani,mwana wa Resa,mwana wa Zerubabeli,+mwana wa Shealtieli,+mwana wa Neri, Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
2 Kisha Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakaanza kujenga upya nyumba ya Mungu,+ iliyokuwa Yerusalemu; na manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao na waliwatia moyo.+
12 Baada ya kupelekwa uhamishoni Babiloni, Yekonia akawa baba ya Shealtieli; Shealtieli akawa baba ya Zerubabeli;+
23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 mwana wa Yoanani,mwana wa Resa,mwana wa Zerubabeli,+mwana wa Shealtieli,+mwana wa Neri,