14 Nao wazee wa Wayahudi wakaendelea kujenga na kufanya maendeleo,+ wakitiwa moyo na nabii Hagai+ na Zekaria+ mjukuu wa Ido; wakamaliza kujenga kulingana na agizo la Mungu wa Israeli+ na agizo la Koreshi,+ Dario,+ na Mfalme Artashasta+ wa Uajemi.
7 Wewe ni nani, Ee mlima mkubwa? Mbele ya Zerubabeli+ utakuwa nchi tambarare.*+ Naye ataleta nje jiwe la juu kabisa la hekalu huku watu wakishangilia: “Ni zuri ajabu! Ni zuri ajabu!”’”