Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 5:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo nabii Hagai+ na nabii Zekaria,+ mjukuu wa Ido+ wakawatabiria Wayahudi waliokuwa Yuda na Yerusalemu, katika jina la Mungu wa Israeli aliyekuwa akiwaongoza. 2 Kisha Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakaanza kujenga upya nyumba ya Mungu,+ iliyokuwa Yerusalemu; na manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao na waliwatia moyo.+

  • Zekaria 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Katika mwezi wa nane, mwaka wa pili wa utawala wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia nabii Zekaria*+ mwana wa Berekia mwana wa Ido, likisema:

  • Zekaria 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika siku ya 24 ya mwezi wa 11, yaani, mwezi wa Shebati,* katika mwaka wa pili wa utawala wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido, likisema:

  • Zekaria 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wale walio mbali sana watakuja na kushiriki katika ujenzi wa hekalu la Yehova.” Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu. Na itakuwa hivyo—ikiwa hamtakosa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki