26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi: “Nitatikisa kwa mara nyingine tena, si dunia tu bali pia mbingu.”+ 27 Sasa maneno “kwa mara nyingine tena” yanaonyesha kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa, vitu vilivyotengenezwa, ili vitu ambavyo havitikiswi vibaki.