2 Samweli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Daudi akamfariji Bath-sheba mke wake.+ Akaingia kwake na kulala naye. Baada ya muda akazaa mwana, akapewa jina Sulemani.*+ Yehova akampenda mwana huyo,+ 1 Mambo ya Nyakati 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Aliwazaa wana wafuatao huko Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Nathani,+ na Sulemani;+ mama ya wana hao wanne alikuwa Bath-sheba+ binti ya Amieli.
24 Kisha Daudi akamfariji Bath-sheba mke wake.+ Akaingia kwake na kulala naye. Baada ya muda akazaa mwana, akapewa jina Sulemani.*+ Yehova akampenda mwana huyo,+
5 Aliwazaa wana wafuatao huko Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Nathani,+ na Sulemani;+ mama ya wana hao wanne alikuwa Bath-sheba+ binti ya Amieli.