9 Tazama! Utazaa mwana+ atakayekuwa mtu wa amani,* nami nitampumzisha kutokana na maadui wake wote wanaomzunguka,+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,*+ nami nitawapa Waisraeli amani na utulivu katika siku zake.+
5 Na kutoka kati ya wanangu wote—kwa maana Yehova amenipa wana wengi+—alimchagua Sulemani mwanangu+ aketi kwenye kiti cha ufalme wa Yehova juu ya Israeli.+