Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Aliwazaa wana wafuatao huko Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Nathani,+ na Sulemani;+ mama ya wana hao wanne alikuwa Bath-sheba+ binti ya Amieli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, bila kuhesabu wana wa masuria, na dada yao alikuwa Tamari.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tazama! Utazaa mwana+ atakayekuwa mtu wa amani,* nami nitampumzisha kutokana na maadui wake wote wanaomzunguka,+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,*+ nami nitawapa Waisraeli amani na utulivu katika siku zake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na kutoka kati ya wanangu wote—kwa maana Yehova amenipa wana wengi+—alimchagua Sulemani mwanangu+ aketi kwenye kiti cha ufalme wa Yehova juu ya Israeli.+

  • Mathayo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yese akawa baba ya Mfalme Daudi.+

      Daudi akawa baba ya Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki