1 Mambo ya Nyakati 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitamfanya asimame katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele,+ na kiti chake cha ufalme kitadumu milele.”’”+ 2 Mambo ya Nyakati 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Sulemani akamwambia Mungu: “Umemtendea Daudi+ baba yangu kwa upendo mwingi mshikamanifu, nawe umeniweka kuwa mfalme baada yake.+
14 Nitamfanya asimame katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele,+ na kiti chake cha ufalme kitadumu milele.”’”+
8 Basi Sulemani akamwambia Mungu: “Umemtendea Daudi+ baba yangu kwa upendo mwingi mshikamanifu, nawe umeniweka kuwa mfalme baada yake.+