Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+ Yohana 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nathanaeli akamwambia: “Rabi, wewe ni Mwana wa Mungu, wewe ni Mfalme wa Israeli.”+ 2 Petro 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kweli, hivyo ndivyo mtakavyowezeshwa* kwa wingi kuingia katika Ufalme wa milele+ wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+
44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+
11 Kwa kweli, hivyo ndivyo mtakavyowezeshwa* kwa wingi kuingia katika Ufalme wa milele+ wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+