Luka 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Pia, ninawaambia: Jifanyieni marafiki kupitia mali zisizo za uadilifu,+ ili zitakapokwisha wawapokee katika makao ya milele.+ Yohana 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yesu akajibu: “Kwa kweli ninakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu.
9 “Pia, ninawaambia: Jifanyieni marafiki kupitia mali zisizo za uadilifu,+ ili zitakapokwisha wawapokee katika makao ya milele.+
5 Yesu akajibu: “Kwa kweli ninakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu.