Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitawainulia nabii+ kama wewe kutoka kati ya ndugu zao, nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atawaambia mambo yote nitakayomwamuru.+

  • Luka 7:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yule mfu akaketi akaanza kuongea, naye Yesu akamkabidhi kwa mama yake.+ 16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+

  • Yohana 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alienda kwa Yesu usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ni mwalimu na umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna anayeweza kufanya miujiza+ kama unayofanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+

  • Yohana 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+

  • Matendo 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti alikuwa mwanamume ambaye Mungu alimwonyesha hadharani kwenu kupitia matendo yenye nguvu na mambo ya ajabu* na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake miongoni mwenu,+ kama mnavyojua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki