36 Lakini nina ushahidi mkubwa kuliko wa Yohana, kwa maana kazi ambazo Baba yangu alinipa nitimize, yaani, kazi hizi ninazofanya zinatoa ushahidi kwamba Baba alinituma.+
10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.