Yohana 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye Yesu akawaambia: “Mambo ninayofundisha si yangu, bali ni ya yule aliyenituma.+ Yohana 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Yesu akasema: “Baada ya kumwinua Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali mambo ambayo Baba amenifundisha, ndiyo ninayosema. Yohana 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kwa maana sijasema kwa uamuzi wangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+
28 Kisha Yesu akasema: “Baada ya kumwinua Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali mambo ambayo Baba amenifundisha, ndiyo ninayosema.
49 Kwa maana sijasema kwa uamuzi wangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+