Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+ Yohana 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alienda kwa Yesu usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ni mwalimu na umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna anayeweza kufanya miujiza+ kama unayofanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+ Yohana 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?” Yohana 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akawajibu: “Niliwaambia, na bado hamwamini. Kazi ninazofanya katika jina la Baba yangu, zinatoa ushahidi kunihusu.+
5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+
2 Alienda kwa Yesu usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ni mwalimu na umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna anayeweza kufanya miujiza+ kama unayofanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+
31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?”
25 Yesu akawajibu: “Niliwaambia, na bado hamwamini. Kazi ninazofanya katika jina la Baba yangu, zinatoa ushahidi kunihusu.+