Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+

  • Yohana 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alienda kwa Yesu usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ni mwalimu na umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna anayeweza kufanya miujiza+ kama unayofanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+

  • Yohana 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?”

  • Yohana 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yesu akawajibu: “Niliwaambia, na bado hamwamini. Kazi ninazofanya katika jina la Baba yangu, zinatoa ushahidi kunihusu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki