Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alienda kwa Yesu usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ni mwalimu na umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna anayeweza kufanya miujiza+ kama unayofanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+

  • Yohana 5:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini nina ushahidi mkubwa kuliko wa Yohana, kwa maana kazi ambazo Baba yangu alinipa nitimize, yaani, kazi hizi ninazofanya zinatoa ushahidi kwamba Baba alinituma.+

  • Yohana 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini ikiwa ninazifanya, hata ingawa hamniamini mimi, basi iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano nami, nami niko katika muungano na Baba.”+

  • Yohana 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.

  • Matendo 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti alikuwa mwanamume ambaye Mungu alimwonyesha hadharani kwenu kupitia matendo yenye nguvu na mambo ya ajabu* na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake miongoni mwenu,+ kama mnavyojua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki