10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.
21 ili wote wawe kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe Baba umo katika muungano nami, nami nimo katika muungano nawe,+ ili wao pia wawe katika muungano nasi, ili ulimwengu uamini kwamba ulinituma.