38 Lakini ikiwa ninazifanya, hata ingawa hamniamini mimi, basi iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano nami, nami niko katika muungano na Baba.”+
10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.