Marko 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakataka kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba mfano aliosema uliwahusu. Basi wakamwacha na kwenda zao.+ Luka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Waandishi na wakuu wa makuhani walitambua kwamba mfano aliosema uliwahusu, basi walitaka kumkamata saa hiyo hiyo, lakini waliwaogopa watu.+
12 Ndipo wakataka kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba mfano aliosema uliwahusu. Basi wakamwacha na kwenda zao.+
19 Waandishi na wakuu wa makuhani walitambua kwamba mfano aliosema uliwahusu, basi walitaka kumkamata saa hiyo hiyo, lakini waliwaogopa watu.+