Yohana 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nilikuja nikiwa mwakilishi wa Baba, nami nimekuja ulimwenguni. Sasa ninaondoka ulimwenguni, nami ninarudi kwa Baba.”+ Yohana 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni,+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja* kama vile sisi tulivyo kitu kimoja.*+
28 Nilikuja nikiwa mwakilishi wa Baba, nami nimekuja ulimwenguni. Sasa ninaondoka ulimwenguni, nami ninarudi kwa Baba.”+
11 “Mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni,+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja* kama vile sisi tulivyo kitu kimoja.*+