Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+ Waebrania 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipotengenezwa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ hivi kwamba sasa anaonekana mbele za* Mungu kwa ajili yetu.+
3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipotengenezwa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ hivi kwamba sasa anaonekana mbele za* Mungu kwa ajili yetu.+