15 “Kisha atamchinja yule mbuzi wa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya watu+ na kuleta damu yake nyuma ya pazia,+ atafanya kama alivyofanya na damu+ ya yule ng’ombe dume; atainyunyiza kuelekea hicho kifuniko na mbele ya hicho kifuniko.
34 Ni nani atakayewahukumu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, isitoshe yeye ndiye aliyefufuliwa, aliye kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na ambaye pia hutuombea.+