8 Sasa jambo kuu tunalosema ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu wa namna hii,+ naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+ 2 mhudumu wa mahali patakatifu+ na wa hema la kweli, ambalo limesimamishwa na Yehova, na si mwanadamu.