Waebrania 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito* wa mbinguni,+ mfikirieni mtume na kuhani mkuu tunayemkubali*—Yesu.+ Waebrania 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana inafaa tuwe na kuhani mkuu kama huyo ambaye ni mshikamanifu, asiye na hatia, asiye na unajisi,+ aliyetenganishwa na watenda dhambi, na aliyeinuliwa juu ya mbingu.+
3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito* wa mbinguni,+ mfikirieni mtume na kuhani mkuu tunayemkubali*—Yesu.+
26 Kwa maana inafaa tuwe na kuhani mkuu kama huyo ambaye ni mshikamanifu, asiye na hatia, asiye na unajisi,+ aliyetenganishwa na watenda dhambi, na aliyeinuliwa juu ya mbingu.+