Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 1:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambao aliutumia kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu, 21 juu kuliko kila serikali na mamlaka na nguvu na utawala na kila jina linalotajwa,+ si katika mfumo huu wa mambo* tu, bali pia katika ule unaokuja.

  • 1 Petro 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yeye yuko kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda mbinguni, nao malaika na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki