Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matendo 7:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Lakini Stefano akiwa amejaa roho takatifu, akatazama mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ Waebrania 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+
110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
55 Lakini Stefano akiwa amejaa roho takatifu, akatazama mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+
12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+