Isaya 53:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye alipewa kaburi* pamoja na waovu,+Na pamoja na matajiri* katika kifo chake,+Ingawa hakuwa amefanya kosa*Na hakukuwa na udanganyifu kinywani mwake.+ 1 Petro 2:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+ 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+
9 Naye alipewa kaburi* pamoja na waovu,+Na pamoja na matajiri* katika kifo chake,+Ingawa hakuwa amefanya kosa*Na hakukuwa na udanganyifu kinywani mwake.+
21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+ 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+