Mathayo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+ Yohana 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana nimewawekea kielelezo, ili mfanye kama nilivyowafanyia.+
24 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+