Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na yeyote asiyechukua mti wake wa mateso* na kunifuata hanistahili.+

  • Marko 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa akauita umati na wanafunzi wake, akawaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+

  • Luka 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo akawaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe,+ aubebe mti* wake wa mateso siku baada ya siku na aendelee kunifuata.+

  • Luka 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeyote asipouchukua mti wake wa mateso* na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki