Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+ 25 Kwa maana yeyote anayetaka kuuokoa uhai wake* ataupoteza, lakini yeyote anayeupoteza uhai wake* kwa ajili yangu ataupata.+

  • Marko 8:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa akauita umati na wanafunzi wake, akawaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+ 35 Kwa kuwa yeyote anayetaka kuokoa uhai wake ataupoteza,* lakini yeyote anayeupoteza uhai wake* kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema atauokoa.+

  • Luka 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo akawaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe,+ aubebe mti* wake wa mateso siku baada ya siku na aendelee kunifuata.+

  • Luka 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeyote asipouchukua mti wake wa mateso* na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki