Mathayo 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na yeyote asiyechukua mti wake wa mateso* na kunifuata hanistahili.+ Mathayo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+ Marko 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Sasa akauita umati na wanafunzi wake, akawaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+ Luka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote asipouchukua mti wake wa mateso* na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+
24 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+
34 Sasa akauita umati na wanafunzi wake, akawaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+