Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa kuwa yeyote anayetaka kuokoa uhai wake ataupoteza,* lakini yeyote anayeupoteza uhai wake* kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema atauokoa.+

  • Luka 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana yeyote anayetaka kuuokoa uhai wake* ataupoteza, lakini yeyote anayeupoteza uhai wake* kwa ajili yangu ndiye atakayeuokoa.+

  • Luka 17:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Yeyote anayetaka kuuokoa uhai wake* ataupoteza, lakini yeyote anayeupoteza atauokoa.+

  • Yohana 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yeyote anayeupenda sana uhai wake* huuangamiza, lakini yeyote anayeuchukia uhai wake*+ katika ulimwengu huu ataulinda kwa ajili ya uzima wa milele.+

  • Ufunuo 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwanakondoo+ na kwa sababu ya neno lao la kutoa ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi zao*+ hata walipokabili kifo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki