Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana yeyote anayetaka kuuokoa uhai wake* ataupoteza, lakini yeyote anayeupoteza uhai wake* kwa ajili yangu ataupata.+

  • Marko 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa kuwa yeyote anayetaka kuokoa uhai wake ataupoteza,* lakini yeyote anayeupoteza uhai wake* kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema atauokoa.+

  • Yohana 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yeyote anayeupenda sana uhai wake* huuangamiza, lakini yeyote anayeuchukia uhai wake*+ katika ulimwengu huu ataulinda kwa ajili ya uzima wa milele.+

  • Matendo 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, sioni uhai wangu* kuwa muhimu kwangu,* mradi tu nimalize mwendo wangu+ na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.

  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso yatakayokupata hivi karibuni.+ Tazama! Ibilisi ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili, nanyi mtapata dhiki kwa siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo, nami nitakupa taji la uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki