1 Yohana 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninawaandikia ninyi akina baba, kwa sababu mmemjua yule aliye wa tangu mwanzo. Ninawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mna nguvu+ na neno la Mungu hukaa ndani yenu+ nanyi mmemshinda yule mwovu.+
14 Ninawaandikia ninyi akina baba, kwa sababu mmemjua yule aliye wa tangu mwanzo. Ninawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mna nguvu+ na neno la Mungu hukaa ndani yenu+ nanyi mmemshinda yule mwovu.+